Header ads

Header ads
» » Google yakubali kuondoa picha zote za uchi

Kwa wale ambao wamekua wakikereka na uwepo wa picha za uchi na chafu kwenye mtandao wa Google hii itakua habari nzuri kwao

Mtandao wa google kwa sasa umekubali kuondoa zile picha zote za uchi na chafu

Google mwanzoni walitupilia mbali (walikataa) ombi hilo la kuzifuta picha zote chafu ...ingawa kwa sasa wamekubali lakini kupitia makamu raisi wa mtandao wa google Amit sighal alisema kuwa hawatazifuta kabisa picha hizo lakini hazitaweza kuonekana kwenye orodha ya vilivyotafutwa

Mashine hiyo ya kuficha picha hizo itaanza kufanya kazi wiki chache zijazo..

Kwa habari nyingi nyingine nakusihi endelea kubaki hapa hapa upate kufahamu mengi
.....Ahsante.....

Imehaririwa na;- Unknown

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Timu ya Queretaro yavunja mkataba wa nyota wa Brazil Ronaldinho
»
Previous
Picha; Arnold Schwarzenegger Kwenye Utambulisho wa Terminator Genisys