Header ads

Header ads
» » TUZO ZA CAF KUTOLEWA JANUARI 2015

Pierre-Emerick Aubameyang
Shirikisho la soka barani Afrika CAF litatoa tuzo kwa wanamichezo bora Januari 8 huko Lagos Nigeria.
Kiungo wa Gaboni Pierre-Emerick Aubameyang, golikipa Vincent Enyeama wa Naijeria na kiungo Yaya Toure ndio wanawania tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa mwaka 2014.
Wanaowania Tuzo za uchezaji bora kwa wachezaji wa ndani ya Afrika
Akram Djahnit (Algeria) El Hedi Belamieri( Algeria)Firmin Mubele Ndombe (DR Congo)
Kwa upande wa wanawake wanaowania tuzo hizo ni
Annette Ngo Ndom (Cameroon) Asisat Oshoala (Nigeria) Desire Oparanozie (Nigeria)
Wanaowania kwa upande wa chipukizi
Asisat Oshoala (Nigeria) Fabrice Ondoa (Cameroon)Uchechi Sunday (Nigeria)
Wanaowania tuzo ya kipaji kinachochipukia ni
Clinton N’jie (Cameroon) Vincent Aboubakar (Cameroon) Yacine Brahimi (Algeria)
makocha wanaowania tuzo hizo
Florent Ibenge (DR Congo) Kheireddine Madoui (ES Setif) Vahid Halilhodžić (kocha wa zamani wa Algeria)
Timu zinazowania tuzo ya timu bora ya mwaka ni
Algeria, Libya, Nigeria
Timu bora ya wanawake ya Mwaka ni
Cameroon, Nigeria, Nigeria U-20
Klabu bora ya Mwaka
Al Ahly (Egypt) AS Vita (DR Congo) ES Setif (Algeria)
Huku Rais wa Tp Mazembe Moise Katumbi Chapwe akitarajiwa kupewa tuzo ya kiongozi bora wa michezo wa mwaka.

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post