



MAHABUSU aliyekuwa anatuhumiwa kubeba madawa ya kulevya, Abdul
Koroma raia wa Sierra Leone ameuawa kwa kupigwa risasi na Askari
Magereza wakati akijaribu kutoroka katika eneo la Mahakama ya Kisutu
jijini Dar leo!
poatel Africa Wednesday, 31 December 2014 0 No comments
Topics: MATUKIO
Distributed By TeknoTaarifa Media and Tech Services | Designed by Abdallah Magana