Header ads

Header ads
» » » Teknolojia yatumika kumzalisha sokwe kwa upasuaji

 The Tibetan macaque lies in an intensive care unit ten days after undergoing a liver transplant at Xijing Hospital in Xian.
Mwana wa Sokwe anaendelea vyema baada ya kuzaliwa kupitia upasuaji katika hali isiyo ya kawaida.
Sokwe huyo anayetoka upande wa magharibi alizaliwa kupitia upasuaji usio wa kawaida baada ya mamaake kuonyesha ishara za ugonjwa hatari wa shinikizo la damu.
Alihitaji msaada wa kupumua,lakini sasa madaktari wanasema hali ya mama na mtoto iko shwari.

Kumekuwa na sokwe wachache waliofanyiwa upasuaji wakati wa kujifungua duniani,kisa cha hivi majuzi kikiwa kile cha San Diego Safari Park mwaka 2014.
Sokwe huyo aliye na siku 11 alizalishwa na Professa David Cahill ambaye amewazalisha wanawake wengi kupitia upasuaji ,lakini ilikuwa mara yake ya kwanza kumzalisha sokwe.
''Mbali na kuwa na watoto wangu,huu ni ufanisi mkubwa kwangu,kitu ambacho sitoweza kusahau tena,''alisema.
 
Aliulizwa maoni yake baada ya mamaake sokwe huyo kwa jina Kera kuugua ugonjwa wakati ambapo alikuwa karibu kujifungua.

 SOURCE DAILY NEWS

>>Lengo langu ni kuakikisha upitwi na Habari za Teknolojia ungana Nami FACEBOOK , TWITTER na INSTAGRAM

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post