Header ads

Header ads
» » Pato la Makampuni ya Mtandao wa Internet laongezeka China


Taasisi ya mawasiliano ya habari ya China imekadiria kuwa pato la makampuni ya mtandao wa Internet la China litafikia dola bilioni 178 za kimarekani mwaka huu, na linatarajiwa kufikia dola bilioni 253 za kimarekani mwaka kesho. Kutokana na makadirio hayo, kasi ya ongezeko itakuwa ni zaidi ya asilimia 40. Imefahamika kuwa makampuni ya China yamechukua nafasi nne kati ya makampuni kumi makubwa ya mtandao wa Internet duniani. 
 Internet mobile users in China surpass computer ones
Kampuni ya ALIBABA imeshika nafasi ya nne, kampuni ya Tencent imeshika nafasi ya tano, kampuni ya Baidu ikiwa nafasi ya saba na kampuni ya Jingdong imeshika nafasi ya kumi. 

Chanzo> topnews.in

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post