Header ads

Header ads
» » Lowassa Kumshtaki Kikwete

Mkutano kati ya Lowassa na vyombo vya habari, unalenga kumshitaki Kikwete kwa wananchi kwa kile kinachoitwa, “kukaidi matakwa ya wengi.”

Lowassa alikuwa miongoni mwa wanachama 38 wa chama hicho waliojitosa katika mbizo za urais, lakini jina lake liliondolewa katika hatua za awali. Kikwete ndiye anayetajwa kumuengua Lowassa kwa maslahi yake binafsi.




“Ni kweli kwamba Edo (Edward Lowassa), amepanga kueleza kilichotokea Dodoma kwenye mikutano ya chama chake. Atafanya hivyo kupitia mkutano kati yake na waandishi wa habari,” ameeleza mmoja wa watu waliokaribu na kiongozi huyo.

Hakuweza kufahamika mara moja, ikiwa Lowassa atautumia mkutano huo kueleza mustakabali wake wa baadaye wa kisiasa.

Chanzo:Mwanahalisi Online

Imehaririwa na;- Unknown

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post