Header ads

Header ads
» » TAARIFA NILIZOZIPATA KUHUSU HALI MBAYA ALIYO NAYO MSANII DAZ BABA

Leo nimepata taarifa inayo muhusu msanii wa Bongo fleva wa kitambo hicho anayetambulika kwa jina la Daz Baba, .Huyu ni msanii mkubwa na maarufu sana hapa Tz na uhakika kila mtu atakuwa anamkumbua#DazBaba aliyekuwa na mmoja katika kundi la#Daznundaz kama sikosei...Taarifa hizo zinadai msanii huyo yupo katika hali mbaya sana.. Sababu ya kuwa hivi ni#Madawa_ya_kulevya.. Na chanzo kikubwa cha madawa ni baadh ya matajiri kujiingiza katika biashara hii ambayo inatuharibia nguvu kazi ya taifa..#Daz ni kijana mdogo sana na ukimwangalia kwenye pic utadhani mzee...Naamini bado hatujachelewa tunaweza kubadilisha maisha ya kihana mwenzetu kama alivyo @rayc kwa sasa.. .Toa ushauri wako kuhusiana na vijana wenzetu kuingia kwenye makundi ya utumiaji wa madawa ya kulevya.. Nini chanzo na tufanyaje ili kukomesha janga hili

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post