Mtandao wa Twitter ambao una wafanyakazi wapatao 4,100, umechukuwa uamuzi wa kuwafuta kazi asilimia 8 ambayo ni sawa na wafanyakazi 336.
Mkurugenzi wa Twitter Jack Dorsey alitoa maelezo na kusema kuarifu kuchukuwa uamuzi huo kutokana na kushuka kwa kiwango soko la hisa kwa asilimia 7.
Kwa kupunguza idadi ya wafanyakazi wake, kampuni hiyo inaamini kwamba itaweza kurudisha gharama na matumizi katika hali ya kawaida.