Header ads

Header ads
» » Honda nayo yatoa gari jipya la kujiendesha

Honda yatoa gari jipya la kujiendesha

Kampuni ya magari ya Honda yafahamisha kuliingiza sokoni gari lao lipyamwaka 2020 lililo na uwezo wa kujiendesha na kujiunga katika mashindano ya magari yenye uwezo sawia kama vile ya kampuni ya Google

Mwaka 2020 ni mwaka wa olimpiki zitakazofanyika jijini Tokyo na kampuni za Nissan na Toyota pia zina lengo la kupeleka magari yao mapya  sokoni.
Msemaji wa Japan ambaye pia ni mtengezaji wa magari hakutaka kutoa maelezo zaidi kuhusu uwezo wa gari hilo kabla ya wiki ijayo ambapo kutakuwa na na hafla ya maonyesho ya magari jijini Tokyo.
Hata hivyo watengezaji magari wana hofu ya kupata shinikizo kuu kutoka kampuni ya Google iliyo na mpango wa kutengeneza gari lisilohitaji dereva na pia Apple inayozidi kujiendeleza kiteknolojia kwa kufanya utafiti wa kutengeneza gari lakujiendesha.

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post