Header ads

Header ads
» » microsoft imezindua laptopu inayojulikana kama surface book, miongoni mwa bidhaa mpya za Windows 10

 
Kampuni ya microsoft imezindua laptopu inayojulikana kama surface book ikiwa miongoni mwa bidhaa mpya za Windows 10.
Microsoft pia imetoa simu mbili aina ya smartphone,ikiwa ni toleo jipya la tablets.

Mengi yanatarijiwa katika uzinduzi huo huku mkuu wa kampuni hiyo Satya Nadella akitaka kuthibitisha kwamba kampuni hiyo inaweza kutoa ushindani mkubwa kwa wapinzani wake.
Wachanganuzi wanasema kuwa laptopu hiyo huenda ikasaidia kuimarisha soko la kompyuta za kibinafsi.

Laptopu hiyo ikiwa ni ya kwanza kuzinduliwa na kampuni ya Microsoft ilikuwa miongoni mwa bidhaa za Microsoft zilizozinduliwa katika hafla mjini New York.
Imetengezwa kushindana na Apple Macbook,huku microsoft ikilinganisha bidhaa hizo moja kwa moja.

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post