Data kutoka bodi ya usalama nchini Marekani inaonesha kulikuwa na kesi za majeruhi 11,101 kati ya mwaka 2000 hadi 2011 zilizosababishwa na utumiaji simu. Huku majeruhi wengi wakiwa wanawake, huku wengi wao wakiwa na umri wa miaka 40 na chini ya hapo. Mapendekezo ya sheria kama hii yashashindwa kufanikiwa katika majimbo mengine kama vile Arkansas, Illinois, Nevada na New York.
CHANZO: http://researchnews.osu.edu
MHARIRI: AbdallahMagana.com