Header ads

Header ads
» » Rais Barack Obama atarajiwa kuzuru Afrika mwezi Julai

 Maelezo kuhusiana na ziara ya Obama barani Afrika

Kulingana na maelezo yaliyotolewa na msemaji wa White House, iliarifiwa kwamba Rais wa Marekani Barack Obama atazuru Ethiopia kukutana na viongozi wa AU mwishoni mwa mwezi wa Julai.
Ziara hiyo ya makao makuu ya AU nchini Ethiopia itakuwa ni ya kwanza kutekelezwa na Obama tangu kuingia madarakani kama rais wa Marekani.
Maelezo zaidi yanaarifu kwamba ziara hiyo inalenga kuboresha uchumi na demokrasia, pamoja na kuimarisha usalama katika nchi za Afrika.
Baada ya ziara hiyo, Obama ataelekea nchini Kenya kwa ajili ya kuhudhuria mkutano wa kimataifa wa ujasiriamali utakaoanyika jijini Nairobi.

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post