Header ads

Header ads
» » Picha: Diamond Plutnamz akifanya MediaTour Nchini south africa

Diamond plutnamz akitembelea media (radio & tv station) zilizopo nchini afrika kusini akiendelea kuutangaza mziki wake

Diamond plutnumz akisindikizwa na mwenyeji wake Donaldndaniel kama mnavyomwona kwenye picha ...

Lakini pia kuna ngoma /mziki mwingine unatengenezwa ndani ya #Universal_Studio ni kolabo kati ya east na south (Donald  & diamond)

Diamond akiwa south Africa amtembelea vituo kama #Trace_tv #KayaFm #MetroFM #Yfm na vingine vingi

Asante kwa kuwa pamoja kwenye blog yetu ...kwa habari nyingi na nyingine usisahau kupitia humu kila siku

Imehaririwa na;- Unknown

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post