Header ads

Header ads
» » Davido nae kwenye biashara nyingne sasa

Msanii kutoka nchini Nigeria Davido amekuja na biashara nyingne baada ya kutoa T-shirt na kofia (cap) zitakazo kuwa zina lebel ya obo yaani O.B.O kama lebel itakayokua inatambulisha bidhaa zake

Huu ni mfululizo wa mastaa wengi kutoka nchi mbali mbali kujaribu kujihusisha na biashara nyngne ili kuingiza fedha ukiachilia mbali muziki kama kazi mama kwao..

Imehaririwa na;- Unknown

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post