Jeshi la Polisi Tanzania linawaita kwenye usaili vijana waliomaliza kidato cha nne mwaka 2014
ambao wamechaguliwa kufanya usaili kabla ya kujiunga na Jeshi la Polisi.
Majina pia yapo kwenye tovuti ya TAMISEMI www.pmoralg.go.tz na Ofisi ya Kamanda wa Polisi
wa Mkoa/Wilaya iliyo karibu nawe ukatazame endapo jina lako ni miongoni mwa walioitwa
kwenye usaili.
Usaili utafanyika katika miji ya makao makuu ya mikoa Tanzania Bara Kwa tarehe
zilizooneshwa hapa chini
