Header ads

Header ads
» » » Hichi ndicho kilichotokea kabla ya ben pol kunusurika kwa ajali ya Boat

Mkali wa R&B kutoka bongo anaekimbiza hivi sasa kwa ngoma yake ya Sophia Ben Paul wiki chache zilizopita baada ya kunusurika kwenye ajali ya boat hichi ndicho alichokisema

"Kabla ya safari marafiki zangu waliniambia niwapigie watu wengi simu yani rafiki zangu wafike hata kumi " 'Mimi nikawaambia nikiwaita rafiki zangu tutatumia gharama nyingi ' alisema Ben pol

"Mimi nilikuwa naangalia kwenye gharama tuu wao wantaka tuongezeke tuwe wengi, sijui wangekuja afu wakafa ingekuaje"

Kwenye ajali hiyo ya boti ambayo Ben alikua akitokea kisiwa cha mbudya ,boti ilizama yote na wao kunusurika kwa kuelea kwenye maji kwa masaa yasiopungua mawili na nusu kwa kuwa walikua na makoti ya kusaidia majini

Ben pia aliongezea kwa kusema tukio hili limemfanya apate moyo zaidi wa kuzidisha kuwasaidia watu wasiojiweza kama shukrani kwa mungu kuokoa maisha take

Imehaririwa na;- Unknown

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post