Header ads

Header ads
» » Facebook wajipanga kubaini maeneo wanapoishi watumiaji wake


Facebook imetangaza kuwa itatengeza na kutoa ramani zenye maelezo mengi kuhusu maeneo ambayo inaamini wateja wake wanaishi kwa uma baadaye mwaka huu.
Mtandao huo wa kijamii umekuwa ukitumia programu za kiintelijensia kutafuta picha za satelite ili kubaini mijengo ya binaadamu.
Inatumai kutumia ramani hizo kubaini pale ndege zisizo na rubani za mtandao zitawekwa ili kutuma maelezo.
Lakini pia imesema kuwa watu wengine pia wanaweza kutumia ramani hizo.
''Tunaamini kwamba data hii itakuwa na athari nyingi kama vile uchumi wa kijamii,utafiti pamoja na kutathmini hatari ya majanga,''ilisema facebook katika blogu.


SOURCE: Daily Mail

>>Lengo langu ni kuakikisha upitwi na Habari za Teknolojia ungana Nami FACEBOOK , TWITTER na INSTAGRAM

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post