Mahabusu hao wanatarajiwa kuachiliwa huru mwezi Novemba mwaka huu.
Obama ambaye amewahi kuwaachiliwa huru mahabusu 89 hadi kufikia sasa, pia ameweza kupunguza hukumu ya kifungo kwa mahabusu 46 waliokuwa gerezani kwa kesi za ulanguzi wa madawa ya kulevya.
Akibainisha umuhimu wa mahabusu hao kupewa nafasi nyingine, Obama aliarifu kwamba hukumu walizopoewa kuwa ni nzito zikilinganishwa na makosa waliyoyafanya.
Obama aliandika barua na kuzituma kwa kila mfungwa ili kuwafahamisha matarajio aliyokuwa nayo kutoka kwao.
Uamuzi huo unaarifiwa kutathminiwa na kuonekana kuwa kama ishara ya mabadiliko ya mfumo wa sheria Marekani.