Header ads

Header ads
» » TAZAMA VITUKO VYA WHATSAP BAADA YA YANGA KUFUNGWA

Kunako dakika ya 9 kipindi cha pili ama waweza sema dakika ya 56 ya mtanange wa Simba na Yanga, mganda anaecheza soka la kulipwa nchini Tanzania na klabu ya Simba yenye maskani yake mtaa wa Msimbazi katika viunga vya Kariakoo jijini Dar es Salaam, Emmanuel Okwi ameiandikia Simba bao la kwanza baada ya kumalizia kazi nzuri ya Ibrahim Hajibu. Mpira umemalizika na Simba 1 Yanga 0.

Mchezaji wa Yanga Harun Niyozima anapigwa kadi nyekundu. 
Wakati huo huo Yanga inampeleka Benchi, Mrisho Ngasa na Simba Ibrahim Hajibu nae akaenda benchi.
 


 
 
 

 
 
 

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post