Kifaa cha jicho kilichounganishwa kwenye miwani ya kamera, kitawawezesha walemavu wa macho kuona mazingira ya dunia japo kwa kiasi kidogo.
Kwa kuzingatia muundo wa kifaa hicho, vibati 11 vidogo vilivyobobea
vinasio 43 vya elektrodi kwa kila kimoja vinasemekana kuwa na uwezo wa
kuunganisha mawasiliano ya picha hadi kufikia ubongoni.
Vibati hivyo vinaweza kutuma ishara ya picha zenye ubora wa pikseli 500 ubongoni.
Muundo huu na uwezo wa kunasa picha kwa ubora wa kiwango hicho
ukilinganishwa na ubora wa picha wa pikseli milioni 1.5 unaotokana na
kiini cha jicho, unaweza kuashiria mfano wa picha za filamu za vibonzo.
Wakati huo huo, watu wenye ulemavu wa macho wataweza kutambua vitu
mbalimbali kwenye mazingira kwa urahisi kwa kutumia picha hizo chache
zinazonaswa na kifaa cha jicho.
Wanasayansi wametoa maelezo na kusema kwamba kifaa hicho cha jicho
huenda kikatatua tatizo la ulemavu wa macho ikiwa maboresho yatatimia
kwa mafanikio.
Kifaa hicho cha jicho kinatarajiwa kufanyiwa majaribio kwa walemavu wa macho watakaojitolea.
CNN News
>>>Tafadhali Click link zifuhatazo kuhungana Nami FACEBOOK , TWITTER na INSTGRAM
Home
»
HABARI TECH
» Wanasayansi wa Australia waunda kifaa cha jicho kinachoweza walemavu wa macho kuona
Topics: HABARI TECH
Imehaririwa na;- poatel Africa
Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
Playstore
TeknoTaarifa Video
TAARIFA ZILIZOSOMWA SANA
-
THE UNITED DEPUBLIC OF TANZANIA MINISTRY OF HOME AFFAIRS EMPLOYMENT OPPORTUNITIES The Ministry of Home Affairs in clos...
-
Wakati CCM ikifanya jitihada za kudhibiti makada wake wanaotajwa kuwania urais, Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal amemtuma waziri ...
-
Ubuyu kama tulivyozoea wengine wanauweka rangi na sukari unatengenezwa vizuri tunafanya kula na kuna wengine ule unga wake hutengenezea...
-
Miaka miwili baada ya India kuzindua Nirbheek,bunduki inayodaiwa kuwa ya kwanza ya wanawake,kiwanda cha kutengeza silaha cha taifa hi...
-
The Benjamin William Mkapa HIV / AIDS Foundation (BMAF) is a Trust and not for profit organization with a vision to be a hub of in...
-
Ref. Na EA.7/96/01/H/ 66 07th August, 2015 VACANCIES ANNOUNCEMENT On behalf of Eastern Africa Statistical Training Centre ...
-
Regional Manager. TANROADS - RUVUMA is looking for suitable qualified Tanzanian candidates for 11 posts available at Luhimba and...
-
Hivi karibuni mdau mmoja wa Website hii alinitumia e-mail na kuniuliza ni kwa jinsi gani anaweza kuipata simu yake iliyo...
-
Kampuni ya Google imetambulika kuwa bidhaa yenye thamani zaidi kwa mujibu wa shirika la fedha la linalojihusisha na ukaguzi wa thamani ya...
-
The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) is a Government Institution which is under the Ministry of Education and Vo...
Data Boosta