Kifaa cha jicho kilichounganishwa kwenye miwani ya kamera, kitawawezesha walemavu wa macho kuona mazingira ya dunia japo kwa kiasi kidogo.
Kwa kuzingatia muundo wa kifaa hicho, vibati 11 vidogo vilivyobobea
vinasio 43 vya elektrodi kwa kila kimoja vinasemekana kuwa na uwezo wa
kuunganisha mawasiliano ya picha hadi kufikia ubongoni.
Vibati hivyo vinaweza kutuma ishara ya picha zenye ubora wa pikseli 500 ubongoni.
Muundo huu na uwezo wa kunasa picha kwa ubora wa kiwango hicho
ukilinganishwa na ubora wa picha wa pikseli milioni 1.5 unaotokana na
kiini cha jicho, unaweza kuashiria mfano wa picha za filamu za vibonzo.
Wakati huo huo, watu wenye ulemavu wa macho wataweza kutambua vitu
mbalimbali kwenye mazingira kwa urahisi kwa kutumia picha hizo chache
zinazonaswa na kifaa cha jicho.
Wanasayansi wametoa maelezo na kusema kwamba kifaa hicho cha jicho
huenda kikatatua tatizo la ulemavu wa macho ikiwa maboresho yatatimia
kwa mafanikio.
Kifaa hicho cha jicho kinatarajiwa kufanyiwa majaribio kwa walemavu wa macho watakaojitolea.
CNN News
>>>Tafadhali Click link zifuhatazo kuhungana Nami FACEBOOK , TWITTER na INSTGRAM
Home
»
HABARI TECH
» Wanasayansi wa Australia waunda kifaa cha jicho kinachoweza walemavu wa macho kuona
Topics: HABARI TECH
Imehaririwa na;- poatel Africa
Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
Playstore
TeknoTaarifa Video
TAARIFA ZILIZOSOMWA SANA
-
Wanasayansi nchini Sudan wanashirikiana na Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA), pamoja na Shirika la Chakula na Kilimo (FA...
-
Hapa naongelea zile program zisizotakiwa ambazo zinachukua mamlaka katika vivinjari kama vile Google Chrome na Mozila firefox na ku...
-
Kijana wa miaka 10 aliyegundua mbinu ya kufuta maandishi Instagram azawadiwa dola 10,000 na FacebookMvulana mmoja kwa jina la Jani mwenye umri wa miaka 10 azawadiwa dola 10,000 na kampuni ya mtandao wa Facebook kwa kugundua jambo ka...
-
Uvumbuzi huo ulifanyika baada ya wakili anayetetea haki za kibinadamu kutoa taarifa kwa watafiti wa masuala ya usalama kuhusu jumbe ...
-
Kampuni ya Conceptos Plasticos ya Colombia imevumbua njia nzuri ya kujenga nyumba kwa takataka za plastiki. Si kama tu inaweza kutatu...
-
Habari yako msomaji wa TeknoTaarifa tuendelee kuhabarishana na kujuzana kuhusu haya maujanja huku kwenye ulimwengu wa teknolojia leo...
-
Kampuni ya teknolojia ya Huawei inaishtaki Samsung kuhusu madai kwamba haki zake zimekiukwa. Kampuni hiyo ya China imesema kuwa inais...
-
TAKRIBAN watu milioni 30 nchini Tanzania wanatumia simu za viganjani na haiwezi kupita siku bila kuangalia vioo vya simu zao, iwe ni ku...
-
Matumizi mabaya ya simu ambayo yamekuwa yakifanywa na watoto wao kwa ajili ya kufanikisha michongo isiyo na tija, kampuni moja ya te...
-
Meli kubwa zaidi ya abiria duniani iliyoundwa katika karakana ya Saint-Nazaire kusini mwa Ufaransa, imeanza kufanyiwa majaribio bahar...
Data Boosta