Header ads

Header ads
» » Samsung yazindua Smart Watch mpya aina ya Gear 2 itakayoleta upinzani kwa Apple Watch

 Smart Watch mpya kutoka kwa Samsung


Katika siku za hivi karibuni, kumekuwa na upinzani mkubwa kwenye sekta ya teknolojia kufuatia utengenezaji wa saa za Smart Watch kutoka kampuni mbalimbali.
Kampuni kubwa ya teknolojia ya Samsung kutoka Korea Kusini imezindua saa mpya ya Smart Watch aina ya Gear S2 yenye muundo wa duara.

Kwa mujibu wa maelezo ya kiufundi yaliyotolewa, Gear S2 inasemekana kuwa na skrini ya Super AMOLED ya ubora wa pikseli 360 x 360 , nafasi ya hifadhi ya 4GB pamoja na visimbuzi.
Gear S2 pia inaendeshwa kwa mfumo maalum wa 1.0 GHz, RAM ya 512 MB na ina muundo wa kuzuia saa kuingia maji na vumbi.

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post