Shirika la Usafiri wa Umma mjini Istanbul nchini uturuki lilitangaza kuwa basi ya kwanza itakayotumia nishati ya Jua itazinduliwa mnamo Alhamisi katika barabara mjini Istanbul.
Basi moja itazinduliwa mnamo Alhamisi na katika siku zijazo mabasi mengine yataongezwa.
Ingawa basi hiyo itatumia gesi, nishati inayotumika katika shughuli kama vile kuongeza nguvu katika beteri na katika vyombo vya mawasiliano na televisheni kwenye basi itazalishwa na paneli za jua zilizoko katika sehemu ya juu ya basi hiyo.
Basi moja itazinduliwa mnamo Alhamisi na katika siku zijazo mabasi mengine yataongezwa.
Ingawa basi hiyo itatumia gesi, nishati inayotumika katika shughuli kama vile kuongeza nguvu katika beteri na katika vyombo vya mawasiliano na televisheni kwenye basi itazalishwa na paneli za jua zilizoko katika sehemu ya juu ya basi hiyo.