Kampuni kubwa ya teknolojia ya Microsoft, inaarifiwa kuzidisha kasi kwa ajili ya kukamilisha mfumo mpya wa Windows 10 unaotarajiwa kuzinduliwa tarehe 29 mwezi Julai.
Mfumo huo mpya wa Windows 10 unatarajiwa kufanya usisishaji wa mara kwa mara na kuboresha matumizi ya programu mbalimbali kwa wapenzi wa teknolojia.
Microsoft itazindua rasmi Windows 10 tarehe 29 mwezi Julai, na kuwasilisha mfumo huo kwanza kwa watumiaji waliojiunga na Windows Insider pekee.
Baadaye Windows 10 itatumiwa na watumiaji wengine pia kote duniani.
Mfumo huo mpya wa Windows 10 unatarajiwa kufanya usisishaji wa mara kwa mara na kuboresha matumizi ya programu mbalimbali kwa wapenzi wa teknolojia.
Microsoft itazindua rasmi Windows 10 tarehe 29 mwezi Julai, na kuwasilisha mfumo huo kwanza kwa watumiaji waliojiunga na Windows Insider pekee.
Baadaye Windows 10 itatumiwa na watumiaji wengine pia kote duniani.