Header ads

Header ads
» » Microsoft yakaribia kukamilisha mfumo mpya wa Windows 10 unaotarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni

Hatua za mwisho za maandalizi ya Windows 10

Kampuni kubwa ya teknolojia ya Microsoft, inaarifiwa kuzidisha kasi kwa ajili ya kukamilisha mfumo mpya wa Windows 10 unaotarajiwa kuzinduliwa tarehe 29 mwezi Julai.
Mfumo huo mpya wa Windows 10 unatarajiwa kufanya usisishaji wa mara kwa mara na kuboresha matumizi ya programu mbalimbali kwa wapenzi wa teknolojia.
Microsoft itazindua rasmi Windows 10 tarehe 29 mwezi Julai, na kuwasilisha mfumo huo kwanza kwa watumiaji waliojiunga na Windows Insider pekee.
Baadaye Windows 10 itatumiwa na watumiaji wengine pia kote duniani.

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post