Header ads

Header ads
» » UNİCEF yatabili vifo vya watoto milion 68 mpaka ifikapo 2030

 UNİCEF yatabili vifo vya watoto milion 68 mpaka ifikapo 2030

UNICEF,imetabili ifikapo mwaka 2030 watoto zaidi ya milion 68 waliochini ya  umri wa miaka 5 wanaweze kupoteza maisha kwa sababu zinazoweza kuzuilika.
Katika ripoti yake imesema kuwa nusu ya milion ya watu kwa mwaka 2030,watoto wanaweza kuwa katika hali mbaya ya kiafya kama tatizo la kutokuwa na vyoo litaendelea.
Mtoto mmoja anayetoka katika familia maskini katika jangwa la Sahara itamchukua miaka 100 kuweza kumaliza hata shule ya msingi.
katika ripoti ya UNİCEF,kwa muda wa mwaka mmoja watoto milion 6 kupoteza maisha kabla hata kuingia miaka 5.
Wanawake 289 kupoteza maisha wakati wa kujifungua.
watoto milion 58 kufariki hata kabla hawajaanza shule za awali.

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Hii ndiyo Teknolojia ya Buggati Veyron Gari lenye gharama kubwa zaidi Duniani
»
Previous
Alikiba ndani ya daladala leo!!