Header ads

Header ads
» » Alikiba ndani ya daladala leo!!

Mkali ambae ambae majuzi amejinyakulia tuzo 6 kwenye tuzo za KTMA  Alikiba

Hi Leo alimua kutumia usafiri wa daladala  ili kukutana na mashabiki wake ,alikiba ambae baada ya kuhojiwa ni kwa nini ameamua kutumia usafiri huu Leo alijibu

"Nimeona nipande daladala hi Leo ili niweze kupata nafasi ya kukutana na baadhi ya mashabiki wangu ,ni vigumu kuwakusanya wote wanaonikubali lakini naimani kwa njia hii nitakutana na baadhi ya mashabiki wangu" alisema Alikiba

Haikuishia hapo alikiba pia aliwalipia nauli abiria wote kwenye kila daladala alizokua akipanda,
Mbagala - k/koo
Temeke  -  k/koo
Na nyingne ...

Ndani ya dala dala alikiba pia alitoa nafasi pia kwa mashabiki wake kumuuliza chochote ,alijitokeza Dada aliejitambulisha kama ashura na kuuliza

Ashura: ni kweli kuwa una ugomvi          na  diamond?? Na je unaweza kufanya nae kolabo??
Alikiba: sina ugomvi na mtu yeyote ,na swala la kushirikiana linawezekana pia ..

Kwa habari nyingi nyingine endelea kubaki hapa hapa lakini pia mshirikishe na mwenzio kuzipata hizi
.......Ahsante....

Imehaririwa na;- Unknown

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
UNİCEF yatabili vifo vya watoto milion 68 mpaka ifikapo 2030
»
Previous
Ongezeko la Joto nchini Pakistan lasabisha Maafa makubwa