Header ads

Header ads
» » Star wa Bongo Movie Mwingine Huyu Hapa Anaehitaji kuingia Bungeni

Baada ya mwanadada kutoka BONGO MOVIE. Wema sepetu kutangaza kuwa ana mpango wa kugombea ubunge wa viti maalum katika jimbo la singida wiki iliyo pita kwa tiketi ya chama cha mapinduzi CCM

Huyu ni mkali mwingine kutoka Bongo movie ambae anatangaza nia ya uongozi kupitia chama cha mapinduzi kwa wilaya ya kinondoni lakini pia ana mpango wa kutangaza nia leo

Hii ndio post aliyotuma Msanii Steve Nyerere kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram

"@stevenyerere2  -  Tuungane rasmi  nami katika kutangaza nia kinondoni. Ndugu zangu punde mtakuwa na mkutano mkubwa kinondoni bwawani. Sehemu ambayo mimi nimezaliwa  na kusoma  na kuishi apo.  So natangaza nia rasmi kuwa  naweza kuwa mfano kwa vijana wenzangu. Kinondoni  tumekuwa na mateso mbali mbali .kwa mfano  mafuriko akuna kiongozi aliyeweza tatua. Bara bara. Mikopo midogo midogo kwa kina mama.ajila kwa vijana. Ongezeko la ada mashuleni kupanda. Nani anakemea .uchafu  wa wilaya. Tiba kwa wazazi  wetu leo mzazi anaenda kujifungua anaambiwa umekuja na pamba  groups  mkasi . Vitanda kuwa  vichache  kwenye wodi zote. Gari la wagonjwa  ni mmoja tuu.manispaa wanachukua kodi zetu  je zinafanya kazi  gani.  Katika kuimalisha kinondoni. Naomba  kusema  saa ya ukombozi ni sasa. Kijana akiwezeshwa anaweza .pamoja tutashinda. Mama zangu dada zangu kaka zangu  baba zangu  wadogo  zangu  ni mimi Steve mengere ( nyerere)@raythegreatest  @ jb Jerusalem @wemasepetu @ Paulo makonda  @ sabrina rupia @ davina  @ jenifa kyaka@ lemutuzi @ milaji Kikwete  @"

Imehaririwa na;- Unknown

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Picha; Arnold Schwarzenegger Kwenye Utambulisho wa Terminator Genisys
»
Previous
Kenya imechukuwa uamuzi wa kujenga ukingo mpakani mwake na Somalia