Rais wa Marekani, Barack Obama aliwapokea waarifiwa 150 ikulu ya White House kwa ajili ya kuchangia futari Jumatatu.
Rais Obama alifahamisha kuwa, licha ya kuwa na imani tofauti nchini Marekani, wamerakani wote ni ndugu.
Obama alifahamisha kuwa imeandikwa kwamba ‘’watoto’’ wa mungu wanawajibu wakutenda mema bila ya kujali imani za wanaotendewa wema.
Futari ni chakula ambacho hutaarishwa katika kipindi cha mwezi wa Ramadhan na kuliwa jioni wakati wa ibada ya jioni inapo nadiwa.
Obama alisema kuwa mwezi wa Ramadhan ni mwezi ambao unahitaji kujitolea, uvumilivu na nidhamu.