Header ads

Header ads

headlines

    3:02 PM
» » P Diddy mikononi mwa polisi

Rapper millionare kutoka nchini marekani hii Leo alijikuta akijitia matatizoni baada ya kumshambulia kocha wa timu ya mpira wa miguu ambae mwanae anacheza wakati wa mechi ya mazoezi kwenye chuo cha UCLA

P Diddy alikamatwa maeneo ya ACOSTA ATHLETIC TRAINING COMPLEX  majira ya SAA sita mchana

Hakukuwa na mtu yeyote aliedhurika/athirika na vurugu za Rapper P Diddy ,lakini pia msanii huyo akiambulia kutupiwa sero kwa mda usiopungua masaa 4 kuanzia saa sita na nusu mchana mpaka saa kumi jioni

Lakini kwa sasa rapper huyo kaachiwa huru kuwapisha polisi jijini los Angeles kwa kuwa hawana ushahidi thabiti ni kisa kipi cha vurugu

Kwa habari nyingi nyingine endelea kubaki hapa hapa utazipata zote
....Ahsante.....

Imehaririwa na;- Unknown

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Rais Barack Obama AFUTURISHA waislamu White House
»
Previous
Orodha ya majina ya waliopangiwa vituo vya kazi kutoka - UTUMISHI wa Umma