Header ads

Header ads
» » Ongezeko la Joto nchini Pakistan lasabisha Maafa makubwa

 Pakistani youths cool off themselves at a river on the outskirts of Islamabad, Pakistan, Sunday, June 21, 2015. Many cities in Pakistan are facing heat wave conditions with temperatures reaching 49 degrees Celsius (120.2 Fahrenheit). Photo: Anjum Naveed, AP / AP
Waziri mkuu nchini Pakistan Nawaz Sharrif ametaka hatua za dharura kuchukuliwa huku idadi ya watu waliofariki kutokana na wimbi la joto katika mkoa wa kusini wa Sindh ikifikia 700.
Mamlaka ya kukabiliana na majanga ya dharura NDMA imesema kuwa imepokea maagizo kutoka kwa Nawaz Sharrif kuchukua hatua za dharura.
 Pakistani youths cool off themselves at a river on the outskirts of Islamabad, Pakistan, Sunday, June 21, 2015. Many cities in Pakistan are facing heat wave conditions with temperatures reaching 49 degrees Celsius (120.2 Fahrenheit). Photo: Anjum Naveed, AP / AP
Jeshi tayari limepelekwa katika eneo hilo kujenga vituo vya kukabiliana na joto hilo ili kuisaidia mamlaka hiyo.
Wengi wa waathiriwa ni watu wazima kutoka kwa familia zinazopata mapato ya chini.
 
Maafisa wa afya wanasema vifo vingi vimetokea katika mji mkuu wa Karachi ambao ulikumbwa na joto la viwango vya juu vya hadi digree 45 c.
null
Katibu wa afya katika mkoa wa Sindh Saeed Mangnejo amesema kuwa watu 612 walifariki katika hospitali kuu ya serikali mji huo katika kipindi cha siku nne zilizopita.
Wengine 80 wameripotiwa kufariki katika hospitali za kibinafsi.

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Alikiba ndani ya daladala leo!!
»
Previous
Rais Barack Obama AFUTURISHA waislamu White House