Header ads

Header ads
» » Ommy Dimpoz aamua kuvunja ukimya kwa mashabiki

mkali kutoka bongo 255 anaekimbiza na ngoma ya wanjera Ommy dimpoz ameamua kusema ukweli kuhusu kinachoendelea mitandaoni kwenye page za wasanii

hiki ndicho alichokisema kupitia mtandao wake wa instagram
"jamani ndugu zetu tukipost kuhusu wasanii wenzetu mnatukana,tukinyamaza tunadharau tufanyeje?? wengine mnawatukania mama zao washakufa , lakini kwa taarifa yenu mimi haniumi NG'O"

https://instagram.com/p/4fHHBEQqfE/
 
na hizi ni baadhi tu ya comment ambazo amezipata ommy dimpoz baada tu ya kupost picha inayomuhusu msanii alikiba kutambulisha video yake ya cheketua leo

Imehaririwa na;- Unknown

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Brazil yafungishwa Vilago Michuano ya Copa America
»
Previous
January Makamba: Sigombea Kupambambana na Mtu bali Kupambana na Matatizo ya watanzania