Header ads

Header ads
» » Alichopost davido kuhusu watanzania na comment ya wema sepetu

Mkali mwingine kutoka afrika akiiwakilisha vyema Nigeria Davido ambae jina lake lilieleweka sana tanzania kutokana na ngoma yake ya "skelewu" lakini pia baada ya kuja kutumbuza kwenye moja kati ya tamasha kubwa tanzania (FIESTA)

Davido ameingia tena kwenye Top story za tanzania tangu Jana June 19 baada ya post yake aliyopost twitter lakini pia na instagram

Davido kwenye post yake Jana alipost Tu bendera ya tanzania bila kuweka caption (maelezo) yoyote zaidi ya kialama cha upendo (love) "♥"

Hii imekua top story kwa tanzania kwa kuwa kwa sasa kuna kinyang'anyiro cha tuzo za MTV Mama ambapo kuna baadhi ya vipengele yuko na mtanzania Diamond platnumz

Siku za hivi karibuni kumekuwa na tuhuma kwamba kuna baadhi ya watanzania si wazalendo wanaendesha kampeni za kumpigia kura Davido wa Nigeria na kumshusha mtanzania Diamond platnumz

Tuhuma nyingi zimezidi zikimwangukia aliyekuwa Mpenzi wa Diamond platnumz na miss tanzania 2006 Wema sepetu hii pia ni baada ya kuonekana kwa comment yake kwenye post ya davido akiwa hajaandika kitu zaidi ya kialama ambacho kinamaana ya furaha  kama inavyoonekana kwenye picha

Asante kwa kuisoma hii ....kwa habari nyingine nyingi baki hapa hapa ufahamu mengi
.....Ahsante....


Imehaririwa na;- Unknown

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Kenya imechukuwa uamuzi wa kujenga ukingo mpakani mwake na Somalia
»
Previous
Serbia yashinda kombe la dunia la vijana wasiozidi umri wa miaka 20 kwa mara ya kwanza