Header ads

Header ads
» » Akaunti za mitandao za kijamii za Mark Zuckerberg zadukuliwa


Akaunti za mitandao ya kijamii ya Twitter na Pinterest za Mwanzilishi wa mtandao wa Facebook  Mark Zuckerberg  zimethibitishwa kudukuliwa.
Uchunguzi uliofanywa kuhusu udukuzi wa akaunti hizo ulionyesha kuwa hifadhi za data ziliibiwa mnamo mwaka 2012.
Wadukuzi wa bilionea huyo waliweza kusambaza ujumbe wa mafanikio yao ya kuweza kushambulia akaunti zake za Twitter na Pinterest.
Hata hivyo wataalamu wa udukuzi waliweza kurekebisha na akaunti hizo kuwa hali salama tena. 

Chanzo: trt.net

Imehaririwa na;- Unknown

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post