Kifaa cha jicho kilichounganishwa kwenye miwani ya kamera, kitawawezesha walemavu wa macho kuona mazingira ya dunia japo kwa kiasi kidogo.
Kwa kuzingatia muundo wa kifaa hicho, vibati 11 vidogo vilivyobobea
vinasio 43 vya elektrodi kwa kila kimoja vinasemekana kuwa na uwezo wa
kuunganisha mawasiliano ya picha hadi kufikia ubongoni.
Vibati hivyo vinaweza kutuma ishara ya picha zenye ubora wa pikseli 500 ubongoni.
Muundo huu na uwezo wa kunasa picha kwa ubora wa kiwango hicho
ukilinganishwa na ubora wa picha wa pikseli milioni 1.5 unaotokana na
kiini cha jicho, unaweza kuashiria mfano wa picha za filamu za vibonzo.
Wakati huo huo, watu wenye ulemavu wa macho wataweza kutambua vitu
mbalimbali kwenye mazingira kwa urahisi kwa kutumia picha hizo chache
zinazonaswa na kifaa cha jicho.
Wanasayansi wametoa maelezo na kusema kwamba kifaa hicho cha jicho
huenda kikatatua tatizo la ulemavu wa macho ikiwa maboresho yatatimia
kwa mafanikio.
Kifaa hicho cha jicho kinatarajiwa kufanyiwa majaribio kwa walemavu wa macho watakaojitolea.
CNN News
>>>Tafadhali Click link zifuhatazo kuhungana Nami FACEBOOK , TWITTER na INSTGRAM
Home
»
HABARI TECH
» Wanasayansi wa Australia waunda kifaa cha jicho kinachoweza walemavu wa macho kuona
Topics: HABARI TECH
Imehaririwa na;- poatel Africa
Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.

Playstore
TeknoTaarifa Video
TAARIFA ZILIZOSOMWA SANA
-
Mambo vipi Rafiki yangu? Kama wewe ni miongoni mwa watu wanaopendelea kuweka Pattern kwenye simu zenu kwa usalama zaidi, Basi msijali...
-
Mambo Vipi Rafiki zngu? Je unafahamu kwamba betri za simu huwa zinalipuka? basi Jibu ni Ndio, huwa inatokea na huwa inaweza kusababish...
-
Mwana wa Sokwe anaendelea vyema baada ya kuzaliwa kupitia upasuaji katika hali isiyo ya kawaida. Sokwe huyo anayetoka upande wa magha...
-
Polisi wanasema kuwa wamemkamata bwana huyo mwenye umri wa miaka 28 karibu na soko la Barton Arcade mwendo wa saa nane u nusu majira...
-
Wanafunzi wa darasa la pili katika shule ya msingi Nyamarere mkoani Geita wakiwa darasani. Geita. Tuna...
-
Daniel Cabrera alipigwa picha akiwa nje ya duka maarufu la Mac Donalds amejikunyata kwenye kibao anachokitumia kama meza ya kuwekea vi...
-
wakati huku kwetu bado wanafunzi wanaendeleza njia za kizamani na kubuni mbinu mpya za kuibia majibu au kufanya udanganyifu wakati w...
-
Katika toleo la beta la simu za iOS, uwezo huo unaonekana katika eneo la ‘settings’. Kikubwa ni kwamba utaweza kufanya hivyo kama tuu ...
-
MWAKA 2016 umefika ukingoni, kwanizimesalia saa chache kabla ya kuingia 2017. Ahsante kwa wewe ambaye umekuwa mfuatiliaji wa website ...
-
Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) ameondolewa mamlaka ya kutoa adhabu isiyokatiwa rufaa kwa mshtakiwa anayekiri makosa ya kimtandao. Uamuzi...
Data Boosta

Ungana nasi Facebook
PPF FUND
