Header ads

Header ads
» » Lenovo Yoga 900 ndiyo laptop nyepesi na nyembamba zaidi Duniani 2016



Kampuni ya watengenezaji wa laptop za Lenovo kutoka China wamethibitisha kwamba mwaka 2016 wanakuja kuiandika rekodi mpyampya Duniani.
Lenovo wanakuja na aina nyingine ya Laptop kwa mwaka huu 2016, mzigo ni Lenovo Yoga 900 ambapo hii itakuwa ndio laptop nyepesi zaidi Duniani, ina upana wa nusu inch tu upana ambao wanaufananisha na ule wa simu ya iPhone… kingine ni kwamba inaweza kukunjwa kwa namna yoyote bila kuvunjika na wala haina mwisho, yani unaweza kuikunja mpaka sehemu ya nyumba ya kioo na sehemu ya chini vikakutana na bado iko on bila kuzimwa !!
Uwezo wake pia inaweza kukaa na chaji kwa zaidi ya saa 10, na matarajio yaliyopo ni kuziingiza sokoni mwezi March 2016.. bei itagusa kama dola 1,100 ambazo ni sawa na Milioni 2.3 za Kitanzania.




References and useful resources:  
>>Lenovo Website
 
>>Lengo langu ni kuakikisha upitwi na Habari za Teknolojia ungana Nami FACEBOOK , TWITTER na INSTGRAM

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post