Header ads

Header ads
» » » Kampuni ya Google yaingilia soko la simu kwa kuunda simu za Nexus



Google kuanza kuunda simu za Nexus
Kampuni kubwa ya teknolojia ya Google imetangaza kuchukuwa uamuzi wa kuunda simu za Nexus pasi na kushirikiana na kampuni nyingine.
Kwa mujibu wa maelezo yaliyotolewa na kampuni hiyo, simu za Nexus zilizokuwa zikiundwa na Motorola na LG, sasa zitaundwa na Google pekee.
Kufuatia uamuzi huo, kampuni ya Google inatarajiwa kufanya uwekezaji mkubwa katika sekta ya simu na kuleta upinzani kwa kampuni maarufu kama vile Apple na Samsung.
 
>>>Tafadhali Click link zifuhatazo kuhungana Nami FACEBOOK , TWITTER na INSTGRAM 

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post