Header ads

Header ads
» » Waziri mkuu wa Ugiriki Alexis Tsipras ajiuzulu

Waziri mkuu wa Ugiriki ajiuzulu

Waziri Alexis Tsipras atangaza kujiuzulu wadhiwa wake Alhamisi jioni ili kufungua njia ya uchaguzi wa wabunge unaotarajiwa hivi karibuni.
Uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika ifikapo Septemba 20.
Tsipras alifahamisha katika kituo cha televisheni mkuwa serikali yake itafikisha barua yake ya kujiuzulu kwa rais wa Ugiriki.

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post