Header ads

Header ads
» » TANGAZO la kuitwa kwenye Usaili Tume ya vyuo vikuu Tanzania (TCU)


 TUME YA VYUO VIKUU TANZANIA (TCU)

TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI

Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania inawatangazia waombaji wa nafasi za ajirakufuatiatangazo lililotolewa tarehe 19 Juni 2015 kuwa wamechaguliwa kufanya usaili wa mchujo wa maandishi utakaofanyika katika ukumbi wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) kama ifuatavyo:-

1. Afisa Udahili Daraja II

12/08/2015
3.00 Asubuhi
NACTE

2. Afisa Ithibati Daraja II

13/08/2015
3.00 Asubuhi
NACTE

3. Mtunza Kumbukumbu Msaidizi Daraja II

14/08/2015

3.00 Asubuhi
NACTE

Mambo muhimu ya kuzingatia:

1. Wasailiwa wafike na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi (mf. kitambulisho cha Utaifa, kupigia

kura, kadi ya benki, hati ya kusafiria au kitambulisho cha kazi).

2. Wasailiwa wafike na vyeti halisi (Original certificates)–Testimonials “Provisional results”, ‘Statement of Results’

HAVITAKUBALIWA.

3. Kwa wale waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe vyeti vyao vimehakikiwa na kuidhinishwa na mamlaka husika (TCU, NACTE & NECTA).

4. Kila msailiwa atajigharamia kwa chakula, malazi na usafiri.

5. Wale ambao majina yao hayakuonekana katika tangazo hili watambue kuwa maombi yao haya kufanikiwa na tunawashukuru kwa kuonyesha nia ya kufanya kazi na Tume.

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post