Header ads

Header ads
» » Basi la kwanza linalotumia nishati ya jua kuingia barabarani

Basi la kwanza linayotumia nishati ya jua

Shirika la Usafiri wa Umma mjini Istanbul nchini uturuki lilitangaza kuwa basi ya kwanza itakayotumia nishati ya Jua itazinduliwa mnamo Alhamisi katika barabara mjini Istanbul.
Basi moja itazinduliwa mnamo Alhamisi na katika siku zijazo mabasi mengine yataongezwa.
Ingawa basi hiyo itatumia gesi, nishati inayotumika katika shughuli kama vile kuongeza nguvu katika beteri na katika vyombo vya mawasiliano na televisheni kwenye basi itazalishwa na paneli za jua zilizoko katika sehemu ya juu ya basi hiyo.

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post