Header ads

Header ads
» » Yanayojiri Bungeni - Vurugu zatawala Spika aamrisha wabunge wa Upinzani kutolewa Bungeni

Vurugu zimetokea tena Bungeni, Wabunge wa Upinzani wanapinga kusomwa kwa Muswada wa Mafuta na Gesi Asilia

Spika amewaamrisha wabunge wote wa upinzani kutoka nje na kutokuhudhuria vikao kwa siku zote tano zilizobaki.

Sergeant at arms kawatoa.

Waziri wa Nishati anaendelea kusoma Muswada.
- See more at: http://www.kengete.com/2015/07/yanayojiri-bungeni-vurugu-zatawala.html#sthash.XWJNYQ5U.dpuf

Imehaririwa na;- Unknown

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post