Mtandao wa Whatsapp unaomilikiwa na Facebook watangaza maboresho ya kuweza kutumia 'Bold' na 'Italics'katika maandishi.
Kwa
mujibu wa maelezo yaliyotolewa ni kuwa maboresho ya maandiko ya
Whatsapp yanaweza kupatikana katika 'Whatsapp version 2.12.535.'
Mnamo tarehe 19 mwezi Februari mwaka 2014 Whatsapp ilinunuliwa na Facebook kwa dola bilioni 19.3.
Mwezi
Februari mwaka 2016 mtandao huo wa kijamii ulitangazwa kuwa mtandao
bora zaidi wa kutoa huduma ya kutuma ujumbe baada ya kuwa na takriban
watumiaji bilioni moja.
Home
»
MITANDAO YA KIJAMII
» Maboresho:: Watumizi wa Whatsapp kutumia Italiki na 'Bold' katika maandishi
Topics: MITANDAO YA KIJAMII
Imehaririwa na;- Unknown
Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.

Playstore
TeknoTaarifa Video
TAARIFA ZILIZOSOMWA SANA
-
Hivi karibuni mdau mmoja wa Website hii alinitumia e-mail na kuniuliza ni kwa jinsi gani anaweza kuipata simu yake iliyo...
-
Mambo vipi Rafiki yangu? Kama wewe ni miongoni mwa watu wanaopendelea kuweka Pattern kwenye simu zenu kwa usalama zaidi, Basi msijali...
-
Nabii Samwel Mahela wa Kanisa la Pentecostal Power Ministry (PPM) lililopo Mikocheni A (katikati mwenye suti), akitoa hu...
-
Si wengi wetu wanaofahamu umuhimu wa kula samaki mara kwa mara na jinsi kitoweo hiki kilivyo na umuhimu wa kipekee katika afya ya bina...
-
Computer ina uwezo wa kufanya mambo ambayo binadamu hatokuja kuweza kuyafanya kirahisi. Lakini, haiwezi kufanya kitu bila kupewa amri ...
-
CCBRT seeks to recruit individuals who are passionate about the work we do, who are compassionate in character and who have excellent ...
-
Kampuni ya Nokia yajiandaa kuingilia soko la saa za kisasa Kampuni ...
-
wakati huku kwetu bado wanafunzi wanaendeleza njia za kizamani na kubuni mbinu mpya za kuibia majibu au kufanya udanganyifu wakati w...
-
Kwa wale Rafiki zangu wa ma-gadgets and all that... wanaopenda vitu Vikalii. Hii ndiyo orodha ya simu ambazo zimetambulika kuwa...
-
Mambo vipi Rafiki zangu wasomaji wa Website hii, Siku chache zilizopita niliulizwa swali na Rafiki yangu toka Chuo cha Mipango- Dodoma...
Data Boosta
