
Mtandao wa Whatsapp unaomilikiwa na Facebook watangaza maboresho ya kuweza kutumia 'Bold' na 'Italics'katika maandishi.
Kwa
mujibu wa maelezo yaliyotolewa ni kuwa maboresho ya maandiko ya
Whatsapp yanaweza kupatikana katika 'Whatsapp version 2.12.535.'
Mnamo tarehe 19 mwezi Februari mwaka 2014 Whatsapp ilinunuliwa na Facebook kwa dola bilioni 19.3.
Mwezi
Februari mwaka 2016 mtandao huo wa kijamii ulitangazwa kuwa mtandao
bora zaidi wa kutoa huduma ya kutuma ujumbe baada ya kuwa na takriban
watumiaji bilioni moja.
Home
»
MITANDAO YA KIJAMII
» Maboresho:: Watumizi wa Whatsapp kutumia Italiki na 'Bold' katika maandishi
Topics: MITANDAO YA KIJAMII
Imehaririwa na;- Unknown
Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
Playstore
TeknoTaarifa Video
TAARIFA ZILIZOSOMWA SANA
-
THE UNITED DEPUBLIC OF TANZANIA MINISTRY OF HOME AFFAIRS EMPLOYMENT OPPORTUNITIES The Ministry of Home Affairs in clos...
-
Wakati CCM ikifanya jitihada za kudhibiti makada wake wanaotajwa kuwania urais, Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal amemtuma waziri ...
-
The Benjamin William Mkapa HIV / AIDS Foundation (BMAF) is a Trust and not for profit organization with a vision to be a hub of in...
-
The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) is a Government Institution which is under the Ministry of Education and Vo...
-
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo kilichowekwa kanisani wakati wa mazishi ya kada mkongwe wa CCM Mzee...
-
Ref. Na EA.7/96/01/H/ 66 07th August, 2015 VACANCIES ANNOUNCEMENT On behalf of Eastern Africa Statistical Training Centre ...
-
Regional Manager. TANROADS - RUVUMA is looking for suitable qualified Tanzanian candidates for 11 posts available at Luhimba and...
-
Miaka miwili baada ya India kuzindua Nirbheek,bunduki inayodaiwa kuwa ya kwanza ya wanawake,kiwanda cha kutengeza silaha cha taifa hi...
Data Boosta