
Mtandao wa Whatsapp unaomilikiwa na Facebook watangaza maboresho ya kuweza kutumia 'Bold' na 'Italics'katika maandishi.
Kwa
mujibu wa maelezo yaliyotolewa ni kuwa maboresho ya maandiko ya
Whatsapp yanaweza kupatikana katika 'Whatsapp version 2.12.535.'
Mnamo tarehe 19 mwezi Februari mwaka 2014 Whatsapp ilinunuliwa na Facebook kwa dola bilioni 19.3.
Mwezi
Februari mwaka 2016 mtandao huo wa kijamii ulitangazwa kuwa mtandao
bora zaidi wa kutoa huduma ya kutuma ujumbe baada ya kuwa na takriban
watumiaji bilioni moja.
Home
»
MITANDAO YA KIJAMII
» Maboresho:: Watumizi wa Whatsapp kutumia Italiki na 'Bold' katika maandishi
Topics: MITANDAO YA KIJAMII
Imehaririwa na;- Unknown
Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
Playstore
TeknoTaarifa Video
TAARIFA ZILIZOSOMWA SANA
-
Kama ni mpenzi wa vitu vikali na bora na umejipanga kuchukua Mzigo mpya wa Kompyuta mpakato “Laptopo” kwa Mwaka huu 2016,Ni...
-
Wana mashabiki wengi, miongoni mwao tayari ni mamilionea (wa shilingi), wapo wenye mijengo, magari ya kifahari, mir...
-
K una watu wengi wenye nguvu katika ulimwengu wa Michezo, Biashara, Siasa,Teknolojia,na mambo mbalimbali, Laki...
-
Mkurugenzi mkuu wa Facebook Mark Zuckerberg amenunua nyumba 4 kwa ajili ya kuzibomoa na kujenga upya katika eneo la Palo Alto lililok...
-
H atimaye watumiaji wa WhatsApp wataweza kushare nyaraka (Dokoment) kwa Ndugu, Jamaa, Rafiki na wengine zaidi. kipe...
-
Kya GrynDr releases second song of 2013 available for download ! #Wanene Produced by -> @ soundcloud.com/mcivan-thompson Mixed B...
-
Mabingwa wa Bundesliga kufungua kambi ya mazoezi na kutoa msaada wa kifedha kwa ajili ya wahamiaji nchini Ujeruma...
-
Katibu mkuu wa Umoja wa mataifa Ban Ki Moon, amepongeza mafanikio ya kampeni ya kusitisha na kupunguza janga la Ukimwi. Alikuwa akizungum...
-
MKALI wa Bongo Fleva nchini, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' ametwaa tuzo ya Msanii Bora wa Afrika katika tuzo zilizotolewa na Uga...
Data Boosta