Inatumai kutumia ramani hizo kubaini pale ndege zisizo na rubani za mtandao zitawekwa ili kutuma maelezo.
Lakini pia imesema kuwa watu wengine pia wanaweza kutumia ramani hizo.
''Tunaamini kwamba data hii itakuwa na athari nyingi kama vile uchumi wa kijamii,utafiti pamoja na kutathmini hatari ya majanga,''ilisema facebook katika blogu.
SOURCE: Daily Mail
>>Lengo langu ni kuakikisha upitwi na Habari za Teknolojia ungana Nami FACEBOOK , TWITTER na INSTAGRAM