Header ads

Header ads
» » Hawa ndio Marais wanaodaiwakupokea mishahara midogo duniani

Wakuu wa nchi ni baadhi ya watu wanaomiliki mali nyingi baadhi hupokea mishahara minono na wengine hujilimbikizia mali nyingi wakitumia madaraka yao. Hayo yakiarifiwa kuna baadhi ya marais wanaopokea mishahara midogo kuliko wengine kote duniani.
Kulingana na tovuti ya richestlifestyle.com, kuna marais kutoka mataifa matano ya Afrika, lakini kwenye orodha hiyo hakuna marais waliowekwa kutoka nchi zilizo kwenye mstali wa umasikini.

4) Pranab Mukherjee.
Huyu ni Rais wa India, ameongoza nchi hiyo tangu mwaka 2012.
Kwa mwaka anapokea mshahara wa dola 28, 800 za kimarekani ($28,800).

3) Xi Jinping.Ni Rais wa Uchina . Kwa mwaka hupokea dola za kimarekani ($22,300).

2) Beji Caid Essebsi ni Rais wa Tunizia ametawala nchi hiyo tangu mwaka 2014.
Kwa mwaka hupokea dola 16, 400 za kimarekani ($16,400).

1) Macky Sall. Ni rais wa Senegali tangu mwaka 2012. Kila mwaka hupokea dola 15, 600 za kimarekani ($15,600) kila mwaka.

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post