Header ads

Header ads
» » Facebook yamponza muadhini Misri

 'Aswalatu khairul minal facebook' yamponza muadhini Misri

Muazini mmoja akamatwa nchini Misri baada ya kuongeza maneno katika azana ya sala ya asubuhi

Muazini huyo alikamatwa mjini Kafr al-Dawar Kaskazini mwa Misri baada ya kuskika katika vipaza sauti vya mskiti wa Rahmat akisema akisema "assalatu hayrun minal Facebook" badala ya ‘’assaletü hayrun minennaw" kama ilivyo katika utamaduni wa kiislam katika azana au wito wa sala ya asubuhi.
Assalatu hayrun minannaw inamaana kwa kiarabu sala ni bora kuliko usingizi, muazini huyo akabadilisha kausema kuwa sala ni bora kuliko Facebook.

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post