Header ads

Header ads

headlines

    3:02 PM
» » Facebook yaboresha muonekano wa kurasa yake kwa watumiaji wa vifaa vya iOS

 Maboresho ya Facebook katika vifaa vya iOS
Kampuni kubwa ya mtandao wa jamii wa Facebook imearifiwa kuleta maboresho ya muonekano wa kurasa yake katika vifaa vinavyoendeshwa kwa mfumo wa iOS.
Kuaniza sasa watumiaji wa vifaa vinavyoendeshwa kwa mfumo wa iOS, watakumbana ana kwa ana na muonekano mpya wa kurasa ya Facebook watakapofungua.
Miongoni mwa maboresho yaliyofanyika ni kubadilishwa kwa muonekano wa logo ya Facebook inayovutia zaidi kuliko ya zamani.
Vile vile kuna sehemu nyingine ndogo ndogo za picha zilizofanyiwa mabadiliko.

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Bolt aendelea kutawala mbio za mita 100 Beijing
»
Previous
UDOM kinatarajiwa kufanya hafla ya kumuenzi Rais Jakaya Kikwete