Uhakika
mkubwa juu ya kampuni ya Apple kujiingiza kwenye suala la utengenezaji
wa magari umejulikana baada ya injinia mmoja wa kampuni huyo kwenda
kuomba kibali cha kutumia uwanja mmoja wenye barabara kadhaa nchini
Marekani kwa ajili ya majaribio ya magari hayo.
Kampuni
ya Google (kwa sasa ALPHABET) tayari imefika mbali zaidi katika
teknolojia ya magari yanayojiendesha yenyewe na inaonekana Apple pia
imeamua kutoachwa nyuma katika hili. Wengi wanaona teknolojia ya namna
hii (magari ya kujiendesha yenyewe) itakuwa kubwa sana miaka michache
baadae. Na kikubwa zaidi wote, Google na Apple, wanaamini kuna umuhimu
mkubwa wa vifaa kama simu na tableti kuweza kuwasiliana moja kwa moja na
gari lako. Fikiria uingie kwenye gari na uweze kutumia huduma mbali
mbali za simu yako bila kushika simu hiyo.
Topics: TEKNOLOJIA
Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
Soma na Hizi
Rwanda yaanzisha huduma za mVisa kurahisisha utumaji pesa kwa njia ya simu.
Uchumi usio wa pesa taslimu wa Rwanda umepigwa jeki ,huku Benki ya KCB Rwanda ikijiandaa kuanzi...Read more »
22Jan2017Michael Owen amewekeza kwenye Website ya Michezo
Lengo la TeknoTaarifa ni kukuletea Taarifa murua za Teknolojia kutoka sehemu mbalimbali, Huwezi k...Read more »
17Jan2017Tarajia kushuhudia Teknolojia ya akili za bandia (AI) ikichukua nafasi.
Tarajia kushuhudia akili za bandia zikichukua nafasi kubwa zaidi pindi kasi ya intaneti ya 5G it...Read more »
15Jan2017Teknolojia ya Drone yatumika Kupima ramani Mpya ya Jiji la Dar
Mamlaka ya mji wa Dar es Salaam, imeanza kutumia vifaa vya elektroniki vinavyopazwa angani, ku...Read more »
14Jan2017Ufaransa yaunda Meli ya kwanza inayotumia nishati ya jua
Kwa mara ya kwanza meli inayotumia nishati inayoweza kutumika kwa mara nyingi yatengenezwa na ku...Read more »
13Jan2017kupiga picha kwa Pozi ili kunaweza pelekea kuibiwa data zako Mtandaoni
Utafiti mpya wa Taasisi ya Taaluma za Teknolojia ya Japan (NII) unazua mashaka juu ya pozi...Read more »
11Jan2017

Playstore
TeknoTaarifa Video
TAARIFA ZILIZOSOMWA SANA
-
Computer ina uwezo wa kufanya mambo ambayo binadamu...
-
Mambo vipi Rafiki yangu? Kama wewe ni miongoni mwa...
-
Coca-Cola Kwanza Limited of Dar es Salaam, is part...
-
Si wengi wetu wanaofahamu umuhimu wa kula samaki mara...
-
The American Idol judge wore this eye popping red dress...
-
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala...
-
Habari yako msomaji wa TeknoTaarifa tuendelee...
Data Boosta
