Mabao mawili yaliosawazishwa na Zinedine Zidane katika kipindi cha kwanzo, na bao la 3 yalipelekea ushindi wa timu hiyo jambo ambalo lilisababisha nyota huyo kukumbwa na furaha isiokuwa na kifani na kuwarushia mashabiki wake jezi yake maarufu namba 10 mgongoni.
Miaka 17 baada ya tukio hilo, Zinedine Zidane alifahamisha katika kituo cha habari cha RTL Jumapili kuwa anasikitika kuwarushia mashabiki wake jezi hilo.
Ikiwa shabiki wa Ufaransa aliebahatika kupokea jezi hilo atasikia wito huo, je? Atarejesha jezi hilo kwa Zidane?
Ingekuwa wewe ungefanyaje?