Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na afisa wa serikali ya Uturuki, katika mji wa Tal Abyad, alifahamisha kuwa zaidi ya wahamiaji 5,000 kutoka Syria waliingia Uturuki kupitia mpaka wa Akcakale.
Raia hao wanakimbia mapigano makali yanayoripotiwa kuwa baina ya vikosi vya kikurdi na vile vya wanamgambo wa Daesh.
Waziri mkuu wa (FAD) alifahamisha kuwa takriban wanawake 1,413 na watoto 2,287 wamepokelewa nchini Uturuki.
Raia hao wanakimbia mapigano makali yanayoripotiwa kuwa baina ya vikosi vya kikurdi na vile vya wanamgambo wa Daesh.
Waziri mkuu wa (FAD) alifahamisha kuwa takriban wanawake 1,413 na watoto 2,287 wamepokelewa nchini Uturuki.