Raia hao wanakimbia mapigano makali yanayoripotiwa kuwa baina ya vikosi vya kikurdi na vile vya wanamgambo wa Daesh.
Waziri mkuu wa (FAD) alifahamisha kuwa takriban wanawake 1,413 na watoto 2,287 wamepokelewa nchini Uturuki.
poatel Africa Thursday, 18 June 2015 0 No comments
Topics: MATUKIO
Distributed By TeknoTaarifa Media and Tech Services | Designed by Abdallah Magana