Header ads

Header ads
» » Pinda ndani ya Safari ya kutafuta wadhamini



  


IMGL9791
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na baadhi ya wananchi wa Mpanda waliofika kwenye ofisi ya CCM ya Wilaya  ya Mpanda  kushuhudia na kumdhamini  ili apate sifa za kuteuliwa kuwa mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Juni 15, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
IMGL9844
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na baadhi ya wanaCCM wa kijijini kwake Kibaoni wilayani  Mlele Juni 15, 2015 wakati alipokwenda kwenye Ofisi ya CCM ya kata ya  Kibaoni  kabla ya kudhaminiwa  na wana CCM wa kata hiyo  katika nia yake ya kutafuta uteuzi wa CCM wa kugombea urais katika uchaguzi ujao.
IMGL9900
  Baadhi ya wananchi wa Mpanda waliofika kwenye ofisi ya CCM ya wilaya ya Mpanda kumdhamini Waziri Mkuu, Mizengo Pinda katika nia yake ya kuwania uteuzi wa CCM kugombea nafasi ya rais wa Tanzania.
IMGL9660
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwapungia wanaCCM waliofika kwenye Ofisi ya CCM ya kata ya Kibaoni kumdhamini katika nia yake ya kuwania uteuzi wa CCM katika kugombea nafasi ya urais Juni 15, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post