Header ads

Header ads
» » Wafanyabiashara si vyema Kupandisha bei kiholela Mwezi Mtukufu


 
WAFANYABIASHARA nawahasa kutotumia mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan, kujinufaisha binafsi kwa kupandisha bei za vyakula sokoni. ila  wafanyabiashara utumieni mwezi huo kutafuta thawabu kutoka kwa mwenyezi Mungu na kuacha kupandisha bei kiholela.

Baadhi ya wafanyabiashara wanatuhumiwa kuugeuza mwezi wa Ramadhan kuwa, ndio wa kuchuma zaidi kibiashara kwa kupandisha bei za bidhaa, zikiwemo viazi vitamu, mihogo, maharage, magimbi na tambi ambavyo hutumiwa na wengi.

hali hii inawafanya wananchi wengi hasa wenye kipato kidogo washindwe kumudu bei za vyakula wanapokwenda sokoni.
    
Hili niombi langu kwa Wafanyabiashara husika,nawaomba muache tabia hii kwani sio nzuri hata mbele za Mungu.

       Niwatakie mfungo mwema wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post