Header ads

Header ads
» » TANGAZO la Kuitwa kwenye USAILI -Taasisi ya Taaluma ya Wanyamapori -PASIANSI ( MWANZA )


Mkuu wa Taasisi ya Taaluma ya Wanyamapori – Pasiansi, Mwanza anawatangazia wafuatao ambao waliomba kujiunga na Kozi ya
Astashahada ya Awali ya Usimamizi wa Wanyamapori na Hima Sheria (Basic Technician Certificate in Wildlife Management and Law
Enforcement – BTCWLE)
Mkuu wa Taasisi ya Taaluma ya Wanyamapori –  Pasiansi,  Mwanza anawatangazia wafuatao ambao waliomba kujiunga na Kozi ya
Astashahada ya Awali ya Usimamizi wa Wanyamapori na Hima Sheria (Basic Technician Certificate in Wildlife Management and Law
Enforcement – BTCWLE) kuwa wanatakiwa kuhudhuria usaili utakaofanyika kuanzia tarehe 22 Juni hadi 25 Juni, 2015:

BOFYA HAPO CHINI KU-DOWNLOAD FORM YA MAJINA

TANGAZO_LA_USAILI-JUNI_2015

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post